• Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Babati District Council
Babati District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Babati

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Hali ya Hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango Ufuatiliaji na Takwimu
      • Ardhi mali Asili na Wanyamapori
      • Maendeleo ya jamii na ustawi wa jamii
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi
      • Maji
      • Mazingira na Usafi wa Mazingira
      • Afya
    • Vitengo
      • Ugavi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ufugaji nyuki
      • Teknologia ya Habari, Mawasiliano na uhusiano
      • Uchaguzi
    • Link ya Machapisho ya Idara/Vitengo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Kiofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Mkurugenzi aagiza Wakuu wa Vituo na Zahanati wasibague wagonjwa kisa CORONA

Posted on: March 25th, 2020

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Babati Ndg Hamisi Iddi Malinga ameagiza  Wakuu wa Vituo na Zahanati  kutoa huduma kwa ufanisi  kwa Wananchi wote bila ubaguzi wowote hasa katika kipindi hiki  dunia inapopambana na ugongwa hatari  wa CORONA.Hayo ameyasema leo kwenye Kikao kazi cha wakuu wa Vituo na Zahanati wa Halmashauri ya Wilaya ya Babati kilichofanyoka Katika Ukumbi wa Halmashauri Mjini Babati."Msiwabague Wananchi kisa CORONA,toeni huduma nzuri kwa wananchi wote" amesisitiza Kiongizi huyo. Aidha Mkurugenzi Mtendaji amewashukuru Viongozi wa wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa (TALGWU) kwa kushirikiana na Idara ya Afya ya Halmashauri ya Wilaya ya Babati kwa kuandaa kikao kazi hicho,”TALGWU mkoa wa Manyara mmekua mfano wa kuigwa, tumekua tukishirikiana pamoja katika kulinda na kutatua changamoto za watumishi wetu hasa kwa kipindi hiki kigumu cha ugonjwa hatari wa CORONA, Katibu wa TALGWU mkoa wa Manyara Ndg. Ndulila Pandauyage amewashukuru Mkurugenzi Mtendaji na Mganga Mkuu wa Wilaya kwa kutoa ushirikiano kukubali kushiriki pamoja kutoa Elimu kwa watumishi wa Afya kwani kazi ya chama ni kuhakikisha watumishi wanafanya kazi katika mazingira yasiyohatarisha afya za watumishi.Mjumbe wa Kamati  Tendaji Taifa wa TALGWU Mkoa wa Manyara Ndg Devotha Mbonamasabo amewasisitiza watumishi wenzake kufata kanuni,sheria na miongozo mbalimali ya utumishi wa umma,  kusikiliza kwa makini na kufuata maelezo mbalimbali yanayotolewa kujikinga na kuwakinga wagomjwa wanaowahudumia kwani wenyewe ndio wanaotegemewa katika kutoa elimu katika vituo vyao vya kazi kujikinga na ugonjwa hatari wa CORONA

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA UANDIKISHAJI WAPIGA KURA KATIKA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA September 25, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI October 03, 2024
  • TANGAZO LA UBORESHAJI DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI May 11, 2025
  • WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA UFUNDI 2020 June 17, 2020
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DAS Matipula. Watumishi Fanyeni Kazi Kwa Bidii

    June 20, 2025
  • Madiwani Waishukuru Serikali Kwa Ujenzi Wa Jengo La Makao Makuu Ya Halmashauri

    June 20, 2025
  • Mkurugenzi Apongezwa Kwa Utendaji Kazi Mzuri

    June 20, 2025
  • Watumishi Watoa Shukurani Kwa Baraza la Madiwan

    June 20, 2025
  • Angalia zote

Video

MAKALA YA ELIMU IKIANGAZIA SWALA LA TAALUMA NA HALI YA UFAULU KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BABATI
video zaidi

Viunga vya haraka

  • Watumishi portal
  • Lgrcis dashborad
  • Salary silpportal
  • Ramani ya Halmashauri

Tovuti Mbalimbali

  • Tovuti ya Ofisi ya Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Ofisi ya Raisi,Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa-TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Manyara
  • Halmashauri ya Wilaya Ya Kiteto
  • Secretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani Ya Eneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya wilaya ya Babati

    Anwani: P.O BOX 400, Babati.

    Simu ya mezani: Simu Na. 027-2531011

    Simu ya Kiganjani: 0620444641,075486577

    Barua pepe: info@babatidc.go.tz,ded@babatidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani Ya Tovuti

Copyright ©2020 Babati District Council . All rights reserved.